Skip to main content

DIRECTOR WA VIDEO ENOS OLIK INASEMEKANA ALIWA DHALILISHA KIDIS NA TOTTI KWA VIDEO YAO MPYA YA TWENDE OUT..






Wiki kadhaa zilizopita kulikuwa na uandaaji wa video mpya ya Kidis akiwa na Totti ambapo walikuwa wanairudia video ya mpya ya "TWENDE OUT" ama "TUJIRUSHE"  ambapo msanii mwenzao Jaguar alikiri kuigharamikia video hio mpya lakini kufikia sasa Kidis na Totti wanasema hawajui kinachoendelea baina yao na Director wa Video hio anayejulikana kama ENOS OLIK.

Tukiongea na Kidis alisema kuwa yeye haelewi kinachondelea ambapo alikabidhiwa video hio na alipopewa hakuwa na lakusema akampa msanii mwenzake Totti ili aweze kuitizama pia yeye ambapo video hio Kidis alisema ilikuwa imewekwa katika VCD na kuambiwa ni HD video lakini kuitazama vizuri waliambulia kukasirika na kumrudishia director huyo video yake wakiwa wamejawa na hasira.

Totti naye alisema video ilikuwa ni mbovu "Poor Quality" Totii alisema na pia akaongezea na kusema pia video hio ilitoka tofauti na vilie walivyo fikiria na wote waliamua kuirudisha kwa director huyo shupavu ili airudilie tena.

Mbinu zetu za kumtafuta Enos Olik na Jaguar ziliambulia patupu ambapo kwa sasa Jaguar yuko South Africa anatayarisha video yake mpya ya One Centimeter, Kwasasa wasanii hao wanaingojea tena video hio kwa mara ya pili.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO