Hapo jumamosi mtzangzaji wa Pwanifm DAVID MTANA anayekuwa katika kipindi cha Uchambuzi wa Magazeti akiwa na Mkanyika Jilo aliweza kupeleka mahari ambapo kwasasa amekamilisha na pingu za maisha watafunga hivi karibuni hizi ni baadahi ya picha zake katika sherehe hio akiwa na mkewe anayetambulikaka kama SALLY KADZO.








Comments
Post a Comment