Skip to main content

MSANII P-DAY ASEMA KUWA HATAKI MZIKI WAKE UITWE "ZIKI LA NAZI"...soma hapa..


Msanni P-Day anayetokea hapa Kenya katika mkoa wa Pwani yaani Mombasa kupitia mtandao wake wa Facebook hapo jana aliamua kutema alichokua nacho moyoni kuwa yeye hataki mziki wake uitwe ZIKI LA NAZI ama SAYAPWA P-Day aliweza kuandika hivi "..... Morning beautifully pple, dis goes to the hypocrites, they should knw that I started music alone n I will sing without ceizing, for more information ihav a chair in #mcsk, and am very much satisfied n happy.... So stop calling me, telling me abot sayapwa ifact I'd prefer my fans to knw dis, never call my music (mziki wa Nazi) kama ni lazima uupatie jina mziki wangu basi uite.. #coast_flavour.... Tanks my power iz in da talk #teamnylonguitar"

Hapo nyuma kidogo hapa Mombasa paliweza kuandaliwa tamasha la kukataka na shoka ambalo lilijuli kana kama SAYAPWA wasanii walikua ni Sususmila,Ally B,Nyota Ndogo Mc Gates Mgenge na wasanii wengne wengi ambapo inasemekana hao ndio wasanii ambao wako chini ya chama cha SAYAPWA lakini msanii huyo hit maker wa Pilivala alikanusha na akasema hataka mziki wake uitwe ZIKI LA NA ZIKI kwani anajiaminia na pamoja na hayo ana kiti chake katika shirika la MCSK NA na pia kusema afadhali uitwe COAST FLAVA kuliko jina hilo.




Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO