Skip to main content

MTANGAZAJI WA PWANIFM DAVID MTANA WA MWARINGA HUENDA AKAWANIA KITI CHA WARD-REP MWAKA WA 2017..soma zidi hapa




Mtangazji wa PwaniFm kwenye kipindi cha Uchambuzi wa magazeti na swala Nyeti kinachoendeshwa na David Mtana Wa Mwaringa akiwa na Mkanyika Jilo kila Asubui,Mwaringa huenda mwaka 2017 akawania kiti cha Ward ya KAMBE VITUNI ambapo ni eneo anapoishi.

Mwaringa alidhibitisha haya katika mtandao wake wa Facebook mapema wiki iliyo pita nayo THE GREAT MULLEY ililivalia njuga swala hilo lake na kumfuata hadi anapofanya kazi ili kujua kwamba ni kweli ama ilikuwa ni matana.

THE GREAT tulipata nafasi yakumuhoji mtangazaji huyo na kufunguka ya kuwa yeye hana utani wowote na swala hilo na ameamua kuwa atagombea kiti hicho tulimuuliza ni nini haswa kilicho mvutia hadi kutaka kuwania kiti hicho "HILI SWALA SIO ATI MIMI NDIO NATAKA TU ILA NI WANACHI WA KAMBE VITUNI DIO WANATAKA NIPIGANIE KITI HICHO NA KUTAKA NIWAOKOE KATIKA JANGA WALILIOMO KWASASA MAANA WANANIAMBIA IKIFIKA MWAKA WA KURA MAMBO YATAKUWA YAMEHARIBIKA ZIDI HIVO BASI KUTAKA MIMI NIGOMBEE KITI HICHO NI OPINDI NIKIINGIA MAMLAKANI BASI SITAWATUPA MAANA WAO NDIO WANANITAKA SITAWEZA KUWATUPA NA NITAHAKIKISHA ELIMU KATIKA ENEO LILE IMEIMARIKA ZIDI NA MAENDELEO YATAKUWA MENGINE KWA MAANA ENEO LILE NAONA WATU WANATESEKA SANA NA WABUNGE WAKO KULE NA MIMI NINAAMINI KUWA NAWEZA KAZI HIO, NA NITATEKELEZA MATAKWA YAO KAMA VILE VISIMA VYA MAJI AMBAPO VIKO HATUO NDEFU SANA IVO BASI NAONA WAKIPATA SHIDA SANA" Alisema hayo.

David aliweza kutwambia kuwa yeye alikua na azima ya kuwania kiti chochote katika serekali na kutoa maendeleo katika nchi hii wiki ilio pita mtangazji huyo aliweza kuandika haya kupitia mtandao wake "Nataka kuwa kiongozi mwenye siasa safi, siha njema na bongo kali, na kujinyima kwa maslahi ya umma ili kuleta maendeleo mashinani......Mtana wa Mwaringa (ward-rep) kambe/Ribe ward 2017" Aliweza kuandika hayo.




Mwaringa akiwa na mke wake Sally Kadzo

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO