Skip to main content

RAILA ODINGA ASHAMBULIWA KWA VIBOKO KATIKA COUNTY YA KWALE....Tazama video hio hapa...


.

Hali ya taharuki iliibuka katika mkutano wa hadhara baada ya mwanamume mmoja kwenda ukumbini nakuanza kumcharaza viboko kiongozi wa upinzani Bw.Raila Odinga pamoja na wanasiasa wengine.

Raila alikuwa amejiunga na kikundi cha wanawake na kuanza kucheza densi za kitamaduni kuwatumbuiza wageni pamoja na gavana wa jimbo hilo la Kwale Bwana Salim Mvurya katika mkutano wa kisiasa.

File:Raila Amolo Odinga - World Economic Forum on Africa 2008 1.jpg
Kiongozi huyo wa CORD alikuwa ameongozana na viongozi wengine kama sineta JUMA BOY,AGNES ZANI,JAMES ORENGO,JOHNSTONE MUDHAMA na wengine.

Mwanamume huyo aliweza kumshambulia ODINGA ambaye ni waziri mkuu wa zamani na kumchapa mara mbili kabla ya kumgeukia gavana SALIM MVURYA ambaye ni gavana wa Jimbo hilo pia na kumchapa mara mbili.Hata hivyo mwanaume huyo alishindwa nguvu pale alipokabiliwa vikali na walinzi wa RAILA ODINGA.

Polisi walithibitisha kuwa wamemkamata na kumwachilia baada yakugundua alikuwa na matatizo ya akili.
Bado haijajulikana ni kwanini mwanamume huyo aliweza kumshambulia Raila ila baadhi wanasema mwanamume huyo alighadhabishwa pale waziri mkuu aliweza kucheza densi na mke wake ambaye alikuwa katika kikundi cha wakinamama waliokuwa wanatumbuiza wageni waheshimiwa.


Unaweza kuitazama Video hio Hapa.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO