Skip to main content

"MIMI BADO SIJAFA NIKO HAI HUO WOTE NI UONGO" DJ BUNDUKI AKIRI KUWA HAJAFA....soma hapa uone alichokisema.



Hapo jana katka mitandao mbali mbali umu nchini kulienea taarifa za kuwa DJ BUNDUKI amefariki dunia,hii ni baada ya jamaa mmoja kuandika katika ukurasa wa facebook kuwa Dj huyo amefariki.

Dj Bunduki leo ameweka wazi kuwa yeye bado angali hai wanao eneza maneno hayo yakuwa amefariki ni wabaya wake wasio penda akifanya kazi yake na hivi ndivyo alivyoandika hii leo kupitia ukurasa wake wa Facebook "Morning watu wangu, kuna mtu by the name VDJ MAHAZ amepost hapa kwa fb eti nimekufa, plz plz plz thats very bad thing mtu anapost yote ni uongo mtupu, Dj Bunduki is alive and kicking bila wasi so mafans wangu jueni niko salama sana, Hiyo ni vurumai tu na sielewi kwanini amefanya hivyo" Hayo aliyasema Bunduki kupitia ukurasa wake wa Facebook.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO