Skip to main content

MSANII WA X-MATHARE OHZY ADAI KUWA HAKUNA MZIKI MBOVU DUNIA HII.....SOMA ALICHO KISEMA HAPA..




Katika mkahawa mmoja hapo jana THE GREAT MULLEY ilikuwa na msanii anayetoka katika kundi la X-MATHARE linalotamba na ngoma yao NIMERYKE.

Tuliweza kumuuliza msanii huyo kuwa anaonaje kuhusu usanii wa hapa Kenya,alikiri kuwa hapa Kenya na ulimwengu mzima alidai kuwa hakuna mziki mbaya kabisa ni pesa yako ndio inaongea, "Usanii siku hizi umekuwa sio kipaji tena bali ni pesa yako ndio itakayo kufanya ujulikane na ngoma yako iweze kunye katika anga za ulimwengu" alisema Ohzy.

Tulimuuliza ni ngoma gani anayoonelea sio nzuri lakini ni mfuko ulifanya kazi msanii huyo alicheka na kudai kuwa hataki kusema na kueka wazi maana yeye mwenyewe hataki gumzo na story nyingi mitandaoni lakini aliweza kutupatia mfano wa nyimbo iliyofanya vizuri na kusema kuwa MARY MELA ni ngoma ambayo ililazimishwa katika masikio ya watu lakini hakuwa inaridhisha sana.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO