Skip to main content

NYOTA NDOGO ACHUKIZWA NA KITENDO CHA KUVULIWA NGUO KWA WANAWAKE OVYO OVYO.......soma alicho kisema hapa.



Huku maandamano ya wanawake yakiendelea katika miji mbali mbali nchini Kenya kwasababu ya wanawake kuvuliwa nguo msanii kutoka hapa Kenya Nyota Ndogo amekishutumu kitendo hicho na kudai kuwa pia wanaume wanao vaa surua milegezo wavuliwe pia.



Mapema hii leo msanii huyo ameonekana katika mtandao wa Twitter akitupia maneno ya uchungu kufuatia kitendo haya ndio baadhi ya maneno...

1."KILA SIKU WEWE NDIO MUAMUZI WA MAISHA YAKO.MENGINE MUACHIE MWENYEZI MUNGU.UKITAKA KUVUTA BANGI PIA YANAMAISHA YAKE.MUAMUZI NI WEWE"
2."Bora kumpiga makofi mawali kama ilikua lazima kumuadhibu kwakuvaa nguo fupi.lakini sio kumvua nguo hadharani."
3."WANAUME WANAO VAA MA JEANS YAKUBANA PIA WAVULIWE.WANAO VAA NGUO ZINAZOITWA MUHARISHO YANI MATAKO NJE PIA WAVULIWE.ETI SWAGA SWAGA GANI.VUA"



Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO