Skip to main content

"NOTI FLOW SINGING IS NOT YOUR CAREER GO AND SEARCH YOUR CAREER STOP MUSIC" VICTORIA MIMSH AFUNGUKA...Read more,


Mapema hii leo mtangazaji wakike anayeingia katika ulingo wa mziki mwaka huu alifunguka ya moyoni ambapo alikua katika kipindi cha MISTARI NA VINA kinachoongozwa na MWANAMFAA CAPTAIN ndani ya BARAKAFM.

 

Mtangazaji huyo anayejulikania kama VICTORIA MIMSH aliweza kusema kuwa msanii wakike anayeimba miondoko ya rap anayejulikana kama NOTI FLOW awachane na mziki sababu kuu ikiwa ni hawezikuimba na hio sio talent yake na kua analazimisha mziki ambapo mziki haulazimishwi "NOTI FLOW SINGING IS NOT YOUR CAREER SEARCH YOUR CAREER BECAUSE YOUR NOT GOOD IN SINGING"tuliweza kumnukuu akisema hayo kupitia kipindi cha mistari na VINA NA VINA, alendelea na kusema kumwambia kuwa atafute kazi nyengine afanye kwani anatumia pesa zake kufanya video kubwa kubwa lakini kuimba ndiko kuna muangusha.

Victoria aliweza kumwambia aangalie wenzake kama PETRA na WANGECHI wanavyo fanya miziki yao na mtindo ni mmoja

Hii ni moja wapo ya video ya msanii NOTI FLOW patakuitzama hapa.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO