Skip to main content

PROMOTA WA MUZIKI NA BABA WA WASANII KUTOKA HAPA MKOANI AZUILIWA NA POLISI KATIKA BODA YA KENYA NA TANZANIA...Soma zaidi hapa

Wengi wanamjua kama promoto wa mziki na wachache wanamjua kama mwanabiashara SAIDI GANGWE MICHARAZO wiki iliyopita aliwea kuzuiliwa katika Boda ya Kenya na Tz ambapo alikua anaingia katika nchi jirani ya Tz kuendeleza biashara yake.

Tukiongea naye Gangwe aliweza kukashifu kitendo hicho cha yeye kuzuiliwa na polisi wa nchi jirani ambapo aliweza kushushwa katika gari yake aliokua nakuvuliwa kila ikiwemo mshipi wa suruale,Kofia pamoja na viatu na kuekwa korokoroni kwa mda wa masaa kumi na mbili huku akiambiwa alipe 500USD ambapo ni takriban ya elfu hamsini pesa za Kenya chanzo kinasemekana kuwa Gangwe hakuwa na na kitabu cha sindalo ya kujizuilia magonjwa tofauti katika nchi hio.

Tulipomuuliza alidai kuwa yeye kitabu hicho alikuwa amesahau alipokiweka lakni alikua nacho "kitabu hicho mimi nilikua nacho lakini hawakutaka kuniskiza kabisa na kunibeba kama mtoto mdogo ambapo tukiangalia watu wao humu nchi kwetu wamejaa tu na hawana hata vitambulisho hii ni haki kweli ?" Aliongea kwa uchungu
Kumbuka Gangwe Mzazi ndiye aliyekuwa Promota wa wasanii kama RudeBoys pamoja na C-New.

Hizo ndizo baadhi ya picha tulizozipata akiwa katika safari hio na kwasa Gangwe mzazi yuko salama na imetuambia kuwa biashara iliompeleka ameishaimaliza anatarajiwa kurudi Kenya hapo kesho.

 

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO