Skip to main content

RICH MAVOKO AJIUNGA NA KAKA EMPIRE INAYOONGOZWA NA MSANII RABBIT..soma hapa zaidi


Msanii kutoka nchini Tanzania anayejulikana kama RICH MAVOKO amejiunga rasmi na KAKA EMPIRE ilioko humu nchini.

Kupitia ukurasa wa anayesimamia KAKA EMPIRE tunayemjua kama KAKA SUNGURA (RABBIT) kupitia ukurasa wake wa faebook mapema leo hii aliweza kudhibitisha rasmi kuwa wamemsajili hit maker huyo wa ROHO YANGU,Rabbit aliweza kuandika haya



"Help us welcome Tanzania's Rich Mavoko to Kaka Empire.
He has joined one of the biggest and fastest growing artiste management stable in Kenya. Kaka Empire will be managing Rich Mavoko's affairs in Kenya. Mavoko joins Rabbit, Avril, Femione, Owago and Raj at Kaka Empire. Karibu Rich Mavoko." 
Aliweza kuandika hayo.

Kumbuka ni wiki mbili tu zilizopita ambapo wawili hao waliweza kuachia mzigo wao mpya unaojulikana kama "NJOO" pamoja na video yao.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO