Skip to main content

EXCLUSIVE TGM STORY| KAMA HUKUWEZA KUPATA KUSKIZA INTERVIEW YA MSANII ZIKY PATA KUISKIZA HAPA...



Mziki ni safari ya milima na mabonde tambarare na pakavu ikiwa umeona msanii amefika juu na kuwa  staa kama DIAMOND PLATNUMZ,JOSE CHAMELEON,WYRE na wengine wengi basi jua wameyapitia na walioyapitia ni vile hujapata kuskiza ama kujua stori zao walipotokea hadi hapa walipofika kuna wengine wametaka hata kuachana na mambo ya mziki kwasababu ya walioyapitia laki9ni jamii ndio hufwapa motisha na kuendelea.

Leo hii tumepatana na msanii ANTHONY JACKSON kwa jina la usanii ni ZIKY WA ZIKY kutoka mkoani pwani msanii huyu ni moja wa wasanii wanao kuja vizuri na wenye sauti nzuri pamoja na idea zenye kufunza.



Ni msanii mwenye umri wa miaka 23 ambaye anamilikiwa na studio za JUNGLE MASTERS chini ya produza EMMY DEE pamoja na uongozi wa JOS K MADALA,ni moja wa kijana anayepata maisha magumu kimziki na kimaisha anaishi maeneo Pwani Kusini (SOUTH COAST) na ni msanii ambaye elimu yake iliishia katika darasa la nane (CLASS 8) na hana mzazi ata mmoja ana umiliki wa mdogo wake alioachiwa na wazazi wake ambapo huyo mdogo wake ndio anamtegemea msanii huyo kwa kila hali na sasa wameweza kuungana na kufungua biashara lakini msanii ZIKY bado anahangaikia kazi za mijengo

kupitia mahojiano yake ya moja kwa moja na PILIPILIFM katika kipindi cha MWAKE MWAKE kinachoongozwa na DOUBLE C(CHRISS na CHIGULU) msanii Ziky aliweza kusema kuwa alishawahi kufukuzwa na aunty yao katika nyumba walio kuwa wanaishi kwasababu hawakuwa na kazi ya kufanya na mara yakwanza aliposkia mziki wake katika kituo cha radio aliweza kutoa machozi ya furaha na hakuweza kula.

Skiliza live interview hio hapa chini....

Thegreatmulley.blogspot.com tutafanya tuwezavyo ili kumsaidia msanii huyu aweze kutimiza malengo yake ya kimziki tumuombee Mungu.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO