Skip to main content

TGM VIDEO OF THE WEEK| AMOURY BEYBY ARTIST001-SEBENE| Watch it here...



Baada ya kuachia nyimbo yake yapili akiwa amemshirikisha NYOTA NDOGO msanii AMOURY BEYBY ameregea studio za KAY-G RECORDS na kutengeneza kitu chenge tofauti na round hii hakumshirikisha mtu bali produza pekeake ambaye ni PRODUZA TOTTI.

Takriban Wiki mbili zilizopita video hii ya SEBENE imekua gumzo katika midomo ya watu na pia katika mitandao ambapo ni video ya kwanza kutrend katika mtandao wa TWITTER wiki hii tukiangalia hakuna video imewahi kutrend ivi kutoka mkoani Pwani.

Tukizungumzia video yenye watu wengi waliweza kusema kuwa msanii AMOURY BEYBY ameweza kufunga safari hadi nchini AFRICA KUSINI ili akaonane na GODFATHER ila kupitia kituo kimoja cha radio msanii huyo aliweza kukanusha hayo na kusema aliyetengeneza video ya KITETE ndiye yule aliyetengeneza hii ya SEBENE ambaye ni LIL GUY G FILMS "Kiukweli mimi nawashsngaa watu wanaposema mpaka waende kwa OGOPA VIDEO ama GODFATHER ndio video zao ziweze kuwa nzuri mimi napinga hilo maana hii video yangu mpya nimeifanya na yuleyule aliye nifanyia KITETE ambaye pia ni manager wangu sio mwengine ila LIL GUY G FILMS" Amoury alisema.

Pata kutazama video hio mpya ya AMOURY BEYBY kwa jina SEBENE.


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO