Skip to main content

VIDEO YA COLONEL MUSTAFA "DODOMASINGIDAH' YAMTIA MASHAKANI....soma story yote hapa...


Mwanamuziki kutokea anga za +254 anayetambulika kwa jina la COLONEL MUSTAFA alitarajiwa kuachia ujio wake wa video mpya hivi karibuni lakini video hio imemueka msanii huyo matatani baada yakumueka sicha ambaye yuko katika vdeo hio akiwa nusu uchi.

Alafajiri ya yaleo tuliweza kukumbana na ujumbe mzito kupitia ukurasa wa ISTAGRAM wa msanii huyo ambao ulikua unasema ivi
"It is with great disappointment that I put to hold the release of my new single #DodomaSingida....Polisi wamenivamia kwenye studio n am headed to Criminal Investigation Department for investigation over questioning involving one of the model that appeared in my video. I won’t be able to release the video today until I clear with the authorities. To all my fans, friends, Tv & Radio hosts, I do apologize for any inconvenience caused.”  


Ameweza kuhairisha siku yakuachia video hio yake inayojulikana kama DODOMASINGIDA hadi pale kesi hio itakapo kwiha ndipo atakapotangaza rasmi siku ya kuiachia.


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO