Skip to main content

EXCLUSIVE VIDEO| TOTTI LA INTERNATIONALE-WANGU| Watch it here...


Baada ya kimya cha muda mrefu TOTTI amerudi tena na mzigo wake mpya unaojulikana kama WANGU kumbuka mara ya mwisho TOTTI kuachia kichupa kipya ni wakati wa HAWAKUFAI ambapo ni moja ya nyimbo zake zilizofanya vizuri zaidi katika soko la Africa Mashariki katika vituo mabli mbali vya Televishenihumu nchini na nje.

Video hii yake mpya inayojulikana kama WANGU aliweza kuiachia siku ya MADARAKA DAY ambapo ilikua Tarehe moja mwezi huu wa sita (1.06.2015) wiki hii Jumatatu,Video hio imeweza kuongozwa na SYNC.

Tukikumbuka kwamba TOTTI pia ni produza wa studio za KAY-G RECORDS ambapo yeye ndiye produza wa msanii AKOTHEE,BROWN MAUZO pamoja na RICKY MULOLO.

Taarifa tulizozipata ni kwamba Totti anataka kung"atuka katika produza na kuingilia usanii wakati wote bado tunazichunguza taarifa izo na tutaweza kukuletea...


Tizama video hio hapa...

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO