Skip to main content

CHAPA-TIZZOH KUWABANIA VIJANA WANAO KUJA KWA KASI ZAIDI WANAOJULIKANA KAMA WASIOJALI BAND..Soma hapa zaidi..


Mapema wiki hii kumekua na vuta nikute kutoka kwa management ya vijana wanaokuja kwa kasi sana wanaojulikana kama WASIOJALI BAND na msaniimkongwe kutoka Mombasa anayetambulika kama CHAPA-TIZZOH.

Kuna ngoma moja ambayo inagombaniwa na wasanii hao ambao ni Tizzoh pamoja na kundi la vijana wannne wanaojulikana kama WASIOJALIBAND, katika ngoma hio kuna sauti ya mkali wa HIDAYA ambaye ni SUSUMILA inasemekana ngoma hioiliweza kurekodiwa mwaka huu mapema ambapo wasanii wawili ndio walio weka sautiambae ni TIZZOH pamoja na SUSUMILA na ngoma kutungwajina la JIRANI.
Kulingana na management ya WASIOJALIBAND inasemekana waliweza kuiskia nyimbo hio na msimamizi wa vijana hao kuipenda nyimbo hio na kutaka kugharamikia video yake lakini pasi na sauti ya Tizzoh,nyimbo hio iliweza kurekodiwa tena lakini sauti ya Tizzoh iliweza kuondolewa na wale vijana kuchukua mistari hio hio na kuijaza sauti na nyimbo ilipokamilika ikapachikwa jina lile lile la JIRANI na ikawa ni nyimbo ya WASIOJALIBAND wakiwa na SUSUMILA.

Ally Babaz ambaye ndie meneja wa wasanii hao aliweza kuisikiliza nyimbo hio tena na kuipata iko sawa kilichokua kimebakia ni ngoma hio kuachiliwa na maandalizi ya video yaanze bila kupoteza muda lakini mambo yalibadilika pale CHAPA-TIZZOH alipopata taarifa yakwamba nyimbo imeguezwa na iko karibu kuachiliwa,Tizzoh alikimbia studio na kukutana produza NOIZER ambapo alimwambia kuwa nyimbo hio isiweze kuachiliwana lau ikiachiwa na yeye pia ataweza kuachia ile ya kwake alikuwa amefanya na SUSUMILA.

 Hivi sasa hizo nyimbo mbili ziko hewani zinapigana matsumbi ikiwemo ya CHAPA-TIZZOH akiwa na SUSUMILA na WASIOJALIBAND wakiwa na SUSUMILA swali ni je ni sauti ya Susumila ndioinayopiganiwa ama ni nini kinachopiganiwa katika nyimbo hio JIRANI?

Nyimbo hzio zote mbili utaweza kuzi download hapa hapa katika THEGREATMULLEY.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO