Skip to main content

MSANII EDDY TICHA AAMUA KUVUNJA UKIMYA WAKE NA HAYA NDIO MANENO YAKE....




Msanii kutoka hapa Mombasa kwa Jina EDDY TICHA aliweza kwenda chini ya maji zaidi na kwasasa ameamua kurudi tena kwa kishindo.


Eddy Ticha ni msanii kutoka kundi la WATASH ambapo yeye ndio kwasasa anayeliweka juu kundi hilo baada ya wenzake kuenda chini ya maji na kufanya shughuli zengine mbali na mziki.

Kabla kupiga kimya hicho msanii huyo alikua ameachia ujio wake ulijulikana kama MISS_ANGELA ambapo ulipata airplay nzuri zaidi katika vituo vya humu nchini, Thegreatmulley tuliweza kuongea na msanii huyo na kuaidi kwamba amekuja na njia nyengine tofauti na yuko tayari kupambana na mziki na kuachana na mambo mengine "Kwasasa nimeamua ni mziki tu na nimeachana shughuli zengine" Alisema Eddy Ticha,tuliweza kumuuliza kama amepata management "Hehehe hilo swala bado liko chini ya maji na hivi karibuni mafans wangu watajua tu" alijibu
Msanii huyo wikendi hii atakua anaachi nyimbo yake inayojulikana kama MAPIGO_YA_MOYO akiweza kuiachia utakuwa wakwanza kuipata hapa katika thegreatmulley.blogspot.com

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO