Skip to main content

TOTTI KUWA TISHIO KWA WASANII KUTOKA NCHI JIRANI.....Soma habari nzima hapa...


Wengi wanamfahamu kwa kazi yake ya kutengeneza ngoma (producer) kutoka studio za KAY-G RECORDS,baada ya kuweka wazi kwamba kazi yake hio yakutengeneza mziki itakaa kando kwa mda TOTTI amekuwa tishio kwa wasanii wengi kutoka nchi jirani ya TANZANIA.

Hii ni baada ya kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina WANGU nyimbo inayoendelea kufanya vizuri katika vituo vyote hapa nchini ambapo video yake imeweza kutoka wiki mbili zilizopita akiwa ameweza kuifanya video hio na director kutoka hapa nchini kwa jina la SYNC ameweza kutengeza video kama vile ya OMMY DIMPOZ na mrembo AVRIL na pia siku kadhaa ameweza pia kuketia kazi inayojulikana kama NINAWEZA.



Baada ya Totti kuachia video yake hio ya WANGU tuliweza kuona video hio ya sekunde kumi na tano katika ukurasa wa Instagram unaofahamika kwa jina DIAMONDPLATNUMZDAILY unaosifika kwa kutoa taarifa za staa wa bongo DIAMOND PLATNUMZ, chakushangza video hio iliweza kukaa hapa kwa masaa mawili na ikatolewa swala ambalo limetela shida katika vituo vya radio kwamba msanii huyu kutoka hapa nchini Kenya kuwa amekua tishio  la staa huyo DIAMOND PLATNUMZ anayetamba kwa ngoma inayojulikana kwa jina NANA kwasasa.

Pata kuitzama video hio ya WANGU hapa chini..

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO