Skip to main content

EXCLUSIVE BEHIND THE SCENE| HIZI NI PICHA ZA NYUMA YA PAZIA ZA UANDAAJI WA VIDEO YA 'DANCE NA SHIRO" YA MSANII BENSO...|TIZAMA PICHA ZA TUKIO ZIMA HAPA.


Msanii BENSO ni mmoja wa wasanii wanaojituma zaidi kimziki ilkuahakikisha hadhi yao kisanii iko juu na inakubadilika,BENSO alikuleteangoma yke iliokua inajulikana kama IMEREMENDE iliofanya vizuri katika soko la humu nchini.


Amerudi tena na majembe mapya kabisa ambapo ivi karibuni utakua unatizama video yake inayojulikana kama NATAKA KUDANCE NA SHIRO,katika pitepite zetu katika mitandao tuliweza kunasa baadhi ya picha za nyuma ya pazia za video hio ambayo bado iko chini ya ukarabati.
Katika vido hio tumeweza kushuhudia sura zilizojaa mafuta yaani zinazometameta na kung'a za warembo ambao kwa mara ya kwanza ndio utawaona katika kioo chako

Hizi ndizo baadhi ya picha utakazo kumbana nazo katika video ya DANCE NA SHIRO 


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO