Skip to main content

EXCLUSIVE VIDEO: WASOJALI BAND-SINA BAHATI_OFFICIAL VIDEO...|Watch it here

 
Vijana walio jawa na talanta kutoka nchin Kenya wanaojulikana kama WASOJALI BAND waachia video yao mpya inayojulikana kama SINA BAHATI.
 Video hio imeketiwa chini na mkali wa video kutoka humu nchini anayejulikana kama RICKY BECKO na Audio yenye imetengenezwa katika studio za GREEN HOUSE mkono ni wa NOZER.

Kumbuka vijana hawa wakiwa chini ya uongozi wa meneja wao ATHMAN BABAZ ni vijana wanao kuja kwa kasi zaidi na wanao tishia katika sauti zao za kuvutia pamoja na bidii na juudi zao.

hizi ni baadhi ya picha wakiiizindua rasmi video hio yao jijini Nairobi ndani ya WAKILISHA EAST AFRICA ndani ya mkahawa wa TRIBEKA.




https://scontent-fra3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11060907_933302246727616_7583951177879425822_n.jpg?oh=02888d0d51c1cf889c605b7631f109f2&oe=5648129F




 Pata kuitizama video hio hapa..

WASOJALI BAND-SINA BAHATI

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO