Skip to main content

WASOJALI BAND WANYIMWA NAFASI YAKUPIGA SHOW MANAGER WAO AMWAGIA LAWAMA SHOW YA TUKUTANE MOMBASA...Soma taarifa nzima hapa

Wikendi hii ilikua ni ndefu ya siku kumi za burudani ambapo kulikuwa na tamasha la MOMBASA INTERNATIONAL CULTURAL ambapo liliweza kutamatika hapo jana katika uwanja wa MAMANGINA.


Kati ya wasanii waliopiga show hio ni SUSUMILA,DAZLAH,AMOURY BEYBY pamoja na bongo finest ALLY KIBA,Kati ya hao kikundi cha vijana wanne wanaokuja katika game kwa kasi WASOJALI band inasemekana hawakupewa nafasi nzuri juu ya stage kufanya mambo yao.

AMOURY BEYBY akiwa jukwaani.


Katika ukurasa wa facebook wa WASOJALI BAND waliweza kuandika maneno haya "Mombasa international Cultural festival hawakutupa uhuru wa kuperform kwa stage kabisa hatukufurahia show ya festival" Yakiambatanishwa na picha wakiwa juu ya jukwaa,tukiongea na manager wa vijana hao anayetambulika kama ATHMAN BABZ alisema "Vijana walikuwa wamejipanga vizuri na show hio lakini muda waliopewa juu ya jukwaa haukunifurahisha kabisa kwani walipelkwa mbio ni kama walikua vitani" Alisema hayo Meneja Athman Babaz.


Hii ni Picha ya uwanja wa Mamangina

Tizama Video yao Latest hapa chin i inayojulikana kama SINA BAHATI.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO