Skip to main content

EXCLUSIVE STORY| UNAKIJUA KILICHO SABABISHA RABIZZLE NA SIS P KUACHANA NA KUMKIMBILIA PRODUZA KHALID WA AMILLION RECORDS?.Pata story nzima hapa


Tukiachana na story zinazoendelea katika mitandao ya kijamii dhidi ya msanii wakike SIS P,mapema hii leo alifunguka yake ya moyoni.

Hii leo ndani ya kipindi cha MASHAV MASHAV UNIVERSITY kinachoongozwa na GATES MGENGE msanii wakike SIS P alikua kikaangoni ambapo aliweza kutiririka majibu bila kusita.

GATES MGENGE.

Gates Mgenge aliweza kumuuliza msanii huyo wakike kwamba uhusiano wake na Rabizzle uko vipi naye aliweza kusema kwamba ameachana na Rabizzle kwasababu ambazo asingeweza kuzitamka lakini alijikuta ghafla anatamka kwamba RABIZZLE alikua akimtelekeza kwamba alikua akimpiga saa zote kwa kosa dogo tu "Rabizzle tuweza kuachana kitambo na sababu zilinifanya tuachane sio zaidi ya moja maana kuna wakati pia alinipiga karibu nipelekwe hosipitali jambo ambalo liliweza kuni kwaza sana."
Rabizzle

Gates aliweza kumuuliza kama Produza Khali ni mchumba wake ama ni msanii tu kama wasanii wengine Sis P aliweza kusitasita lakini mwisho kusema kwa Khalid ndie mume wake mtarajiwa na pia sio sio kwa vile ni mtu wake wa karibu basi atakua anafanya kazi AMILLION aliweza kusema kwamba produza KHALID alimpa ruhusa ya kufanya kazi katika studio yoyote hapa nchini.

Sis P aliweza kusema kwasasa yuko chini ya AMILLION RECORDS na sio chini ya RABBIZZLE kama ilivyokuwa mwanzo.

Msanii huyo ameweza kuachilia ujio wake mpya unaokwenda kwa jina BONGE LA BWANA ambapo video yake iko njiani na muda wowote inatarajiwa kuachiliwa video hio inaemekana imgharimu nusu Milioni.


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO