Skip to main content

JOH MAKINI AZUNGUMZIA SWALA LA WASANII KUTOA MRUNDO WA NYIMBO NA HAZIFIKI MAHALI NA YEYE KUTOA.......Soma hapa zaidi.

JOH MAKINI ni mmoja wa marapper wakali kutoka Afrika Mashariki kutoka kundi la WEUSI ambaye kwa miezi kadhaa amekua akifanya hit baada ya hit.

Hit maker huyo wa NUSUNUSU ameongea na wasanii wenzake kupitia kichupa kipya kinachojulikana kama DON'T BOTHER alicho mpa shavu msanii kutoka South Africa anayejulikana kama A.K.A

Katika video hio ama nyimbo hio kuna mistari ambayo ametema ambayo inakua kama diss kwa wasanii wenzake wanaotoa mrundo wa video na audio alafu mwisho wa siku haziendi mahali katika nyimbo hio tukimnukuu amesema "NASKIA KUNA TUZO MPO KWENYE LIST,NASKIA MNABEBWA KWENYE MA-PLAYLIST,NASKIA MNAUNDUGU NA HAWA MA-JOURNALIST,NASKIA MNATOA NYIMBO NYINGI ME NATOA TU HIT" hio ndio mistari iliokatika ngoma yake ya DON'T BOTHER hii inahashiria ni kwamba ameona wasanii wengi wamkua wakitoa nyimbo nyingi lakini mwisho wa siku zina buma na haziendi popte wala hazifiki popote.


Hii ndio video ya nyimbo yake aliomshirikisha A.K.A wa AFRIKA KUSINI...

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO