Skip to main content

#TGM_EXCLUSIVE_STORY: WYNAS: "NAWEZA FANYA KAZI NA PRODUZA YOYOTE MBALI NA TEEE", WYNAS AFUNGUKA KUHUSIANA NA YEYE KUWA CHINI YA TEE HITS

WYNAS ni moja ya wasanii wenye sauti yenye mvuto ambaye yuko chini ya studio za TEE HITS.

Wynas aliweza kufunguka mapema hii leo kupitia TSA254 inayoendeshwa na MAFIMBO MFALME ndani ya PWANIFM.

Msanii huyu ambaye yuko chini ya produza TEE TONY aliweza kusema kwamba mbali na kuwa yuko Tee yeye ana uhuru wakufanya kazi katika studio yoyote hapa Kenya mbali na TEE "Ata kama niko chini ya studio za TEE HITS nina uhuru na haki yakuifanya kazi yangu katika studio zozote hapa nchini maana sijasaini mkataba na studio hizo lakini TEE HITS ni kama nyumbani kwangu sina mawazo ya kuitoka" Alisema Wynas

Wynas aliweza kusema pia kwa sasa yuko na collabo na msanii mkubwa kutoka Mombasa na ni katika studio ambayo inatambulika ambayo aliyoweza kuweka studio hio na msanii katika mabano ambazo aliweza kusema muda mwafaka ukifika atwaweza kueka wazi.

Kando na hayo Wynas aliweza kuachia Track yake mpya ambayo inafahamika kama KIDOGO TU.

Pata kuidownload na kuiskiza hapa nyimbo hio mpya...

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO