Skip to main content

PROMOTA SAIDI GANGWE AFUNGUKA KUHUSIANA NA AZMA YAKE YA KUGOMBEA UDIWANI...Soma zaidi hapa

Saidi Gangwe ni mmoja ya ma promota wakongwe kutoka Pwani ya Mombasa ambapo hivi majuzi aliweza kutangaza rasmi kwamba mwaka ujao 2017 atakua anagombea kiti cha Udiwani katika maeneo yake anayoishi Timbwani wodi/Likoni.
Gangwe amewahi ku-promote wasanii kutoka hapa Mombasa Kama Rudeboys,C-New,Fat-S na wengi kutoka hapa Mombasa na pia amewahi kuleta wasanii kutoka Tanzania kama vile Mr.Blue Juma Nature,Tmk hapa namzungumia (Temba,Chege pamoja na marehemu Yp).

Gangwe aliweza kuiambia ThegreatMulley kwamba aliweza kutangaza azma yake ya kuwania kiti hicho cha udiwani aliweza kumuoana Saidi Fellla ameketia kiti kama hicho "Kiukweli mimi tangu kitambo nilitamani sana kuwa kiongozi kwasababu sipendi kuona wananchi wenzangu wakihaingaika na mimi Mungui akinijalia nikipata kiti hicho nitaweza kuhudumia wasanii na kuangalia vipaji sana maana hio ni moja ya sekta ambayo imeachwa nyuma sana hapa mkoani kwetu" tulimnukuu akiyasema hayokatika mkahawa mmoja hapa Mombasa.

Vile vile muheshimiwa huyo mtarajiwa aliweza kuficha chama atakachokuwa anagombea nacho na kusema kwamba wakatika wa kutangaza chama bado haujafika.



Endelea kuzisoma taarifa za THEGREATMULLEY na utaweza kujua kila kitu kumuhusu Muhsehimiwa Saidi Gangwe.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO