Skip to main content

NEW GOSPEL VIDEO ALERT| WILLY PAUL NA BAHATI TUPA KULE PATANA NA EMJOMBA NDANI YA BINTI MCHUNGAJI

Kila kukicha kunazinduka talanta mpya katika tasnia ya muziki hapa Africa Mashariki na vijana wanaochipuka ni wenyewe sauti nzuri hata kuliko waliotangulia kama WILLY PAUL na BAHATI.



Katika pitepite zetu ndani ya mitandao ya kijamii tuliweza kukutana na kichupa kipya cha msanii EMMANUEL MBAGI ama ukipenda EMJOMBA anayekuja vizuri katika gospel industry na video yake mpya inayojulikana kama BINTI MCHUNGAJI.

Nyimbo hio imeweza kutengenezwa na produza mmoja anayejulikana kama RICHY BITZ ndani ya studio inayojulikana kama BITZ HOUSE MUSIC lakini kwasasa msanii huyo kwasasa yuko chini ya ALKA PRODUCTION STUDIOS AFRICA ambapo lebo hio ikiwa chini ya VEKTA KENYA ALKA imewahi kufanya kazi na wasanii wakubwa kama DNA,BIGPIN na wengine wengi na kwasasa inatafuta wasanii ili kufanya kazi nayo.


Hii ndio video mpya msanii EMJOMBA ambayo imeweza kuketiwa chini na director kutoka Nairobi kwajina STEVE HUNTER 

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO