Skip to main content

"VIDEO YANGU YA KIGARIMBWE IMENILETEA SHIDA NA MKE WANGU PAMOJA NA MAMANGU" MSANII ONTOZZY AFUNGUKA

Video ya KIGARIMBWE ya Ontozzy inayofanya vizuri katika media yamkosanisha msanii huyo na Mamake pamoja na Mke wake.
Ni takriban mwezi mmoja tangu huyu msanii kuachia video yake inayokwenda kwa jina KIGARIMBWE,kumbuka kila akipigia show nyimbo hio aliomshirikisha FAT-S anaonekana mwenye raha lakini kumbe kuna watu hawajipenda video ya nyimbo hio kabisa akiwepo mamake pamoja na mkewe wa ndoa "Nilipomaliza kushoot video hio na BULLET kuitengeneza hadi kuimaliza aliweza kuniita na kunipa video hio lakini nilipoipeleka nyumbani na kuitazama pamoja na mama watoto wangu aliweza kuenuka na kuendajikoni sikumuelewa hadi ilipoisha,niliweza kumuuliza maoni yake na hakuweza kuvumilia na kuniambia peupe kwamba hajapendezwa na warembo waliokuwa katika video hio walivyokuwa wanacheza na visikati vyao niliweza kum'bembeleza anielewe kuwa ile ni kazi lakini ni kama maneno yangu nilikua na yatupa chooni maana yaliingia na sikio la kulia na kuingia kushoto" Alisema Ontozzy.


Mbali na hivyo alisema kwamba alimpelekea malalamishi hayo Editor na Director wa video hio ambaye si mwengine ia BULLET BABA YAO ambapo aliweza kumuelewa na kuiedit tena alipoipeleka yalijirudia yaleyale na mkewe kumwambia mamake kwamba mwanawe ameharibika huku Mombasa anatoa video akiwa na wanawake ambao wako uchi,Ontozzy aliwezakusema ripoti hio ilipomfikia mamake mzazi ndio ilikuwa balaa zaidi maana alimwambia hayuko radhi na yeye na kama usanii ni huo bora arudi shamba akalime "Nilimketisha chini editer wangoma yangu nikamueleza nimeoa na mke wangu kanisaidia pakubwa kulipa video ya KIGARIMBWE, kwaio maswala ya kuekwa karibu na wanawake itakua ngumu, Jibu nililopata "haina shida" kisha kazi yakushoot akaanza na kuisha Salama, baada ya week mbili nkatumiwa raffcopy sikuipenda ilikua chafu shida ile ya CHURA by SNURRA, nilipomuliiza BULLET the BABAZ a.k.a MUNYAMA, alidaisha hio song yako inataka io video, nilipowaonyesha watu Wangu team_MABINAMU, wakasema n Kali sana but haitacheza Kwa MEDIA........" alisema hayo akiwa na hasira nyingi kupindukia.


Hii ndio Video ya KIGARIMBWE.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO