Skip to main content

EXCLUSIVE STORY:HUU NDIO UJUMBE MZITO WA TBT WEMA SEPETU ALIOMUANDIKIA ALIYEKUWA MPENZI WAKE AMBAYE KWASASA NI MAREHEMU, STEVEN KANUMBA.Soma Hapa

Katika tasnia ya uigizaji nchini Tanzania Kila mmoja anafahamu kwamba muigizaji wakike WEMA SEPETU aliweza kuingizwa katika tasnia hio na alieyekuwa star wa Bongo movie na ni mmo ywa wale waigizaji walioipeleka tasnia ya Bongo Movie mbali zaidi si mwengine ni STEVEN CHARLS KANUMBA.

Ikiwa leo ni ile siku ya kukumbuka vitu vilivyopita (Mambo ya Nyuma) Queen WEMA SEPETU aliweza kumkumbuka sana aliye kuwa mwalimu pamoja na mpenzi wake na kumuangushia ujumbe mzito wa kimapenzi kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM.

Ikiwa ni Miaka sita saa hii tangu mauti kumpata Star Huyo lakini bado Mrembo Wema Sepetu amebaki na kumbukumbu ya Mapenzi aliyokuwa anapewa na marehemu KANUMBA,
Na Huu ndio ujumbe aliouandika Wema.

"My TBT... My First True Love... They say U only Find True Love once in your Lifetime... If & Only If... Well I cant deny the fact that he has a special place in my heart.... And after God took him from Us, I had room for another True Lover.... & Yes I choose to keep him from You... You'll never know... RIP Steve wangu... 🙏🏼"


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO