Skip to main content

EXCLUSIVE STORY||| HUU NDIO UJUMBE SUSUMILA ALIOUPITISHA KWA MR.POLITICIAN JE INAWEZEKANA IKAWA NI GAVANA WA MOMBASA HASSAN JOHO? Soma hapa.

ikendi iliyopita ndani ya jiji la Mombasa kulifanyika show kubwa sana ya mwaka ambayo haijawahi kutokea,show hio ilikua inaongozwa na superstar CHRISS BROWN kutoka uingereza.

Tamasha hilo ambalo lilikwenda kwajina MOMBASAROCKS tetesi zinasema kwamba liliweza kuandaliwa na Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho ambapo bado muheshimiwa hajaweza kujitoa kimasmaso na kusema ni yeye aliyemleta ALI KIBA,VANESSA MDEE,WIZKID na kuwaharib watu kabisa na CHRISS BROWN,chakushangaza ama chakustaajabisha hakuna ata chunusi ya msanii kutoka Mombasa aliweza kugusa juukwaa hilo la Bwana Chriss Brown pamoja na wenzake kutoka nchi jirani ya Tanzania wacha tu kupanda jukwaani ia ata kuitazama show hio.

THEGREATMULLEYMEDIA iliweza kuingia katika hoteli walizokuwa wameekwa mastaa hao ambapo walikuwa waliwekwa katika hoteli ya kifahari ya ENGLISHPOINT MARINA tuliweza kukutana na wasanii mbali mbali ambao wengine hata hawakuonekana katika jukwaa hili akiwemo ht maker wa SHOULDER BACK hapa tunamzungumzia REDSAN kutoka hapa Kenya akiwa na wenzake swali ni je aliweza kuja pamoa na Ali Kiba chini ya Rockstar400 ama aliweza kulipiwa hoteli kuja kuitazama show ya CHRISS?.

Hakuna ata msanii mmoja kutoka Mombasa ambaye ameiongelea swala hilo ila THEGREATMULLEYMEDIA inahisi kwamba Superstar kutoka Mombasa uvumilivu umemshinda na maneno yamenyonga na kuongea na Mr.Politician,kupitia ukurasa wake facebok aliweza kuyasema haya tukimnukuu "U can fool some people sometimes but u cant fool all the people all the time@Mr Politician we are watching u#NgomaImezima" Alisema hayo ambapo anamaanishi hivi "Unaweza kuwapumbaza watu muda mwengine ila huwezi pumbaza watu wote muda wote ule @Mr.Politician" je hii caption itakua inamuendea Joho? Swali letu hilo


Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO