Skip to main content

EXCLUSIVE STORY||| MSANII BENSO AAMUA KATI YA WALE WATAKUA WANAPIGA SHOW ZA COUNTY PIA YEYE ATAKUA NDANI KWA HICHI ALICHOKIFANYIA COUNTY 001 YA MOMBASA.....SOMA HAPA ZAIDI.

Msanii BENSO anayetambulika sana kwa mtindo wake wa kufoka (Rapp) sasa ameamua hatoachwa tena nyuma na matamasha ya MOMBASA COUNTY akiwa ameshirikiana na KIGOTO pamoja na GEEGEE.
Starboy huyo aliweza kumchukua msanii mwenzake KIGOTO pamoja na mwanadada aliyejawa na sauti iliyo mshindaga ibilisi yaani mwenye sauti ya mvuto anayekwenda kwajina GEE GEE,tukikumbuka pia mwanadada huyo waliweza kushirikiana katika wimbo wakwanza uliokuwa unajulikana kama PHONTHO.

Round hii amekuja na kitu kipya kinachokwenda kwajina KARIBU MOMBASA ambapo ngoma hii imeweza kuandaliwa na vichwa viwili kutoka nchi tofauti apa namuongelea SHIRKO kutoka MKUBWA NA WANAWE (Tz) pamoja na BEATZBOY kutoka hapa nchini Kenya,Karibu Mombasa ni wimbo unaozungumzia Nakshi pamoja na Mahandhari ya mji huu unaojulikana kama COUNTY001.

Pakua Wimbo huo hapa Pamoja upate kuitizama video ya Mistari ya wimbo huo.

BONYEZA HAPA KUIPAKUA
Click hapa kuitazama video ya MISTARI ya wimbo huo.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO