Skip to main content

EXCLUSIVE STORY||| MSANII OHZY BAADA YA KUEKA MUZIKI KANDO AINGLIA URAIBU HUU HAPA...Bonyeza upate uhondo.

Msanii OHZY ukipenda T.U (Tayari Ushajua) aliweza kueka sakata la muziki kando ili kuwajibika na mambo yake ya kijamii pamoja na kumtunza mke wake beautiful Onyinye wake.
Katika show kubwa ya BlazeKenya iliofanyika weekendi iliopita msanii huyo alionekana akiwa na mwenzake ambaye alikua ni DAZ EX akiwa ametoboa kipuli cha pua yaani KIDANI cha pua,mbali na hapo pia katika ukurasa wake wa Faceboo na Instagram aliweza kushare picha akiwa na Daz Ex kipuli kikionekana uku akiweka Caption ya "CHUMA KWENYE PUA" swali ni jee ameacha mziki na kuingilia ubishow?

Katika maojiano yetu naye msanii huyo wa kundi la X-MATHARE aliweza kusema kwamba kutoboa pua ni mapambo tu na sio ati ana maana nyengine na ameamua kutoboa pua kwasababu ni mapenzi yake na amependa yeye mwenyewe "Sio ati nimetoboa pua kwakuiga watu la! nimetoboa kwa mapenzi yangu na hakuna aliyenishawishi ila mimi mwenyewe na nafsi yangu na pia nashkuru mama watoto wangu swala hili hajalibeba kiuzito na pia amenipongeza na kuniambia nimependeza" Maneno ya Ohzy hayo.


Tukiachana na hayo pia aliweza kutudokeza kwamba yeye hajawacha mziki ila kazi za utayarishaji wa vipindi ndio vimembana ila soon atarudi ndani ya maskio yako na kitu kikali,kumbuka pia Ohzy anafanya kazi chini ya kampuni ya ASHINER PICTURES inayoongozwa na Ann Hamberger na yeye yuko katika kitengo cha Editting.

Hizi ndio picha tulizozinasa akiwa ameweka Chuma kwenye pua.





Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO