Skip to main content

EXCLUSIVE STORY!!!! SUDI KUANZISHA MSINGI WAKE WAKUSAIDIA WASIOJIWEZA....Angalia aliyoyafanya hapo jana..

Sudi Mohamed Sudi ambaye kwasasa anatamba na hit yake mpya inayokwenda kwajina KIDONDA kwasasa yuku jijini Mombasa anaifanyia nyimbo hio media tour za upande wa Pwani.

Hapo jana SUDIBOY aliweza kuzuru maeneo yalioathirika na baa la njaa maeneo ya KASHANI katika wodi ya Bamburi Kiemebeni pale alipopeleka msaada kwa mayatima pamojana wajane.

Msanii huyo aliweza kuandamana na wasanii wenzake kama KIGOTO pamoja na crew yake nzima ya SUDI WEZESHA,tukiongea nae hapo jana aliweza kutudokezea kwamba ameweza kuanzisha msingi wake mpya utakao kuwa unasidia WAJANE,MAYATIMA pamoja na MASIKINI wasio jiweza katika jamii yetu.

Baada ya Mzazi kuanzisha foundation yake inayojulikana kama MZAZI FOUNDATION kutoka Pwani ya Kenya SUDIBOY ni msanii wakwanza kufuata mkondo huo wakuwezesha jamii kuishi vizuri na kile atakacho pata kidogo agawane na wenzake wasio jiweza.

Hizi ndio baadhi ya picha akiwa na Wajane pamoja na mayatima akiwapa msaada wa vyakula pamoja na viwalo.








Pata kuitizama video yake mpya ya KIDONDA hapa

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO