Skip to main content

EXCLUSIVE EVENT!! KARIBUNYUMBANI||| SIKU YA JUMA MOSI TAREHE 18 UNAKARIBISHWA REEF HOTEL UPATE CHAKULA CHA UBONGO

Ni muimbaji wakike aliye na uwezo mkubwa w kuimba na mbali na hilo anauwezo pia wakutoa mazoezi ya sauti hadi kujua muziki ni nini na kujua kuimba .

Anakwenda kwajina CRYSTAL ASIGE kutoka humu nchini, kumbuka pia msanii huyu wakike ni mlemavu wa macho ambapo macho yake hayaoni asilimia sabini (70%) yaani anaona asilimia thalathini (30%) tu ila kama wanavyosema Mungu hakupi kilema na akakunyima na mwendo,Asige ametembea nchi mbalimbali kwa matibabu na amekutana na madaktari wakubwa na pia ni kipenzi cha watu maana anapenda kujichanganya na jamii na kuwapa watu chakula cha ubongo.

Jumamosi hii CRYSTAL amekuandalia tamasha kabambe ambapo sio tamasha tu ila pia atakua anapeana chakula cha ubongo yaani usia kwa vijana waleo, Tamasha hilo litakua pale NYALI REEF HOTEL atakua anatumbuiza na gita"Acoustic" pamoja na wanamuziki wenzake.

Tiketi za tamasha hilo zinapatika katika mgahawa wa REEF NYALI 
 Pata mfuata katika mitandao yake yakijamii kama CRYSTAL ASIGE na  jiunge nae katika YouTube channel yake kwa kutafuta CRYSTAL ASIGE.
Bonyeza Links Hapa chini kuzitizama kazi zake.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO