Skip to main content

EXCLUSIVE::: JE SHIRKO AMEACHANA NA MAMBO YA BONGO FLEVA NA KUJIUNGA NA QASWIDA?? JIBU HILI APA...

Ni takriban miezi miwili imepita tangu produza mahiri mzaliwa wa Mombasa/Kenya kuhama kutoka Tanzania na kurudi kwao Mombasa. ambapo nchini Tanzania aliweza kukaa kipindi cha muda mrefu hadi ikasemekana hatorudi Kenya tena na ameweza kupata uraia nchini Tanzania.
Ghafla mwezi wa tisa fununu zilisemekana kwamba Shirko anawezekana kurudi Mombasa na kuanzisha studio yake nyengine na kuachana na ile ya Tanzania ambayo ilikua inajulikana kama VIBE RECORDS ambapo msanii mkubwa Aslay alikua anaitegemea sana studio hio kutoa hits zake, mpaka muda huu hatujaweza kupata kujua kilichomtoa Shirko Tanzania na kurudi Mombasa ni ini bado hatujajua chanzo na kusudi ni nini je,aliweza kupata mapesa mengi na kuamua kuja kufungua Studio yake Kenya inayojulikana kama SHIRKOMEDIA? Bado jibu mwafaka hatujalipata.

Hivi karibuni Shirko ameonekana kutokea katika video moja ya Qaswida inayojulikana kama UBAYA ambapo ndani kuna SHIRKO mwenyewe SAAD FARAJ AHMED ambaye inasemekana alikua ni MCA wa wodi ya Bondeni mjini Mombasa yaani Saad ni Muheshimiwa licha yakuwa pia ni muimbaji wa Qaswida pamoja na Qari Ibnu Mas'oud .

Hii hapa ndio video na nyimbo nzima kutoka SHIRKOMEDIA ENT inayojulikana kama UBAYA ambapo kichupa hicho kimeweza kuongozwa na director kutoka Mombasa anayefahamika kama MAC CHOKA UBAYA-SAAD FARAJ FEAT QARI IBNU MAS'OUD X SHIRKO

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO