Skip to main content

MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA MWAKE MWAKE GATES MGENGE ASEMA ARSENAL WAKIFUNGA ATATEMBEA.........Soma hapa zaidi

Moja kwa moja kutoka kwa mmiliki wa kipindi cha Mwake Mwake Eric Mgenge almaarufu kama GATES MGENGE mapema leo hii ametoa kiapo chake dhidi ya dimba litakalo sakatwa hapo saa tano usiku  jioni dhidi ya Arsenal na Manchester United.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Eric Mgenge mtangazaji huyo aliweza kuapa yakwamba kama club ya Arsenal itaweza kuifunga club yake ya Man U basi ataweza kutembea kuanzia barabara za Lights hadi Mombasa mjini uku akipiga makelele Ya serikali Saidia "Leo Arsenal wakiwin pale kwetu home .....will walk from lights to town shouting ...serikali ..saidia saidia saidia."


Tukirudi nyuma kiasi mtangazaji huyu pia aliweza kutoa kiapo chake kwa timu hizi hizi mbili na aliweza kuapa kutembea kwa miguu kuanzia Bamburi mwisho mpaka Bamburi mtambo kwa miguu na kipindi hicho aliweza kupata  bahati mbaya zaidi maana kulikua kunanyesha mvua kinoma noma.


Sasa wacha kesho tuone kama ataliweza ili jua la Mombasa Kama akishindwa.

Comments

Popular posts from this blog

EXCLUSIVE NEW VIDEO "DON'T STOP" JAY A FEAT TIANA...check it here...

After a long quiet of DUMBALA both original and REMIX JAY A hip hop artist from Kenya went all the way to Jamaica and did another song which he feat TIANA song called DON'T STOP. Watch the video here....

+18!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!MREMBO HUDDAH MONROE AONYESHA PICHA ZA UTAMU WAKE AKIWA KITANDANI..

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa hapa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed. “Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme .

EXCLUSIVE HII HAPA : MASAUTI KATABIRIWA KUWA "THE NEXT BIG THING" NDANI YA MWAKA 2019 JE UNAJUA NI NANI ALIYEMTABIRIA?..Soma hapa

Katika miaka yote mwaka wa 2018 unaonekana ndio mwaka ambao mkali wa masauti Shembwana Masauti ameweza kufanya kazi nyingi nzuri na za ghali sana. Mkali wa 'vocals' Masauti mwaka jana aliweza kudondosha ngoma kali takriban kama nne kwa mfululizo amabazo ziliweza sana na kwasasa kibao kinachotatiza anga kinaitwa KIBOKO ambacho kibao icho kinaendelea kufanya vizuri ndani Afrika Mashariki. Hapo jana Presenter mkubwa kutoka MileleFmJalang'o almaarufu kama Mzee Jalas Mwenyewe aliweza  kusema msanii huyu huu mwaka ndiye atakaye sumbua kulingana na usimamizi wake mzuri pamoja na kazi zake zinazoweza kupita kiwango. Hii Hapa ndio kazi yake MAsauti mpya inayokwenda kwajina KIBOKO