Jana ndio ilikua siku ya mwisho ya kupumzishwa mkali na gwiji wa vichekesho marehemu MZEE OJWANG HATARI ambapo mazishi hayo yaliweza kuhudhuriwa na watu mbali mbali mashuhuri pamoja na wachekeshaji wenzake akiwemo Churchil,Mwala,Mama Kayayi pamoja na Mogaka. Hizi ndio picha zote za tukio hilo zima.