Skip to main content

Posts

Showing posts from October 5, 2016

EXCLUSIVE AUDIO|| DJ CREME DE LA CREME FEAT SUDIBOY X WAHU-HADI LINI| LISTEN/DOWNLOAD HERE

Pakua wimbo mpya wa Dj Creme De La Creme akiwa na SUDI BOY pamoja na WAHU kichupa kinakwenda kwajina HADI LINI. BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD

EXCLUSIVE STORY ||| RAYVAN AYASEMA HAYA BAADA YA MASHABIKI KUDAI KWAMBA AMEJAWA NA MARINGO PAMOJA NA KIBURI

Msanii kutoka lebo ya WCB, inayoongozwa na DIAMOND PLATNUMZ , RAYVANNY  amefunguka kuhusina na tetesi kwamba yeye ana kiburi na maringo kama wanavyosema baadhi ya watu. Rayvan amedaikuwa muda mwengine sheria na kanuni za kazi watu humuona mwenye maringo na kiburi kingi ambapo amedai ni kitu ambacho hawezi kuwanacho na hana. “Kwa mfano, ninaweza nikawa misingi yangu ya kazi inaniambia baada ya show inabidi niingie kwenye gari niwahi hoteli. Shabiki anataka nishuke, nipige picha, aniombe namba ya simu,” Ray alisema hayo kupitia kituo cha Kings FM nchini Tanzania. Anasema hayo ndio maagizo anayopewa na uongozi na ni lazima afuate maana ni muhimu sana katika maisha yake. “Huo ni msingi wa kazi, mtu hawezi kusema nimemdharau. Sometimes msingi wa kazi unaniambia haitakiwi nipokee simu ya interview ama simu ya promota akitaka show, anatakiwa apokee meneja, nitakavyomwambia ongea na meneja mtu ataona namdharau, lakini mimi nafuata msingi wa kazi, at end of the day siwezi kubadi

EXCLUSIVE NEW VIDEO| CREME DE LA CREME FEAT SUDIBOY X WAHU-HADI LINI||| Watch it here..

Baada ya kupiga kimya cha mtu mzima best vocalist SUDI BOY akiwa na WAHU wamerudi katika masikio yako pamoja na kioo chako wakiwa pamoja na Staboy Dj CREME DE LA CREME. Vichwa hivi vitatu vimekutana ndani ya studio za HOMEBOYS PRODUCTION na kutengeneza kitu kikali kinachokwenda kwajina HADI LINI ,Video imeongozwa na kampuni ya MISTARI ambayo iko chini ya CALVO MISTARI . HADI LINI ni wimbo unaozungumzia maisha ya ndoa ambapo mwanaume anakanywa na mkewe kufanya mambo yake yasio eleweka ambapo hio ni pamoja na anasa za dunia pamoja na kusahau familia yake,akaachiwa dunia ndipo dunia ikamfunza na sasa anarudi kwa mke wake akiomba msamaha ili warudiane ili kuishi kama zamani Tazama video hio hapa chini.