Skip to main content

Posts

Showing posts from September 29, 2015

MSANII DAZLAH KIDUCHE AMTIMUA MKUBWA WA MADANCER WAKE SABABU HII HAPA...Soma story nzima hapa.

Msanii kutoka hapa Kenya hit maker wa Kidekide wikendi hii hakuwa na dancer wake wote kwaukamilifu kama kawaida mashabiki wake walivyomzoea,katika ukumbi wa Mamangina ambapo kulikua na show ya MARATHON.                                                    DAZLAH AKIWA JUKWAANI   Dazlah alionekana akipanda katika jukwaa akiwa na dancer nusu na mashabiki zake kuulizana na wenfgine kudai kwamba haukweza kuwamudu lakini THEGREATMULLEY tuliweza kuongea na msanii huyo na kumuuliza kwamba ni kweli ameshindwa kuwahudumia ma dancer wake wote ndio maana amewapunguza, Msanii huyo aliweza kusema kwamba aliweza kumpa dancer huyo likizo fupi kwasababu ya utovu wa nidhamu kumbuka ndie mkubwa wa dancers wake kwa jina MODY CHILE. "Kiukweli sijamfuta kazi wala kumtimua Mody Chile bali nilimwambia akae nyumba kiasi kwasababu alikua anaanza kuzembea katika kazi na kutofika mapema zoezi ndio maana nikampa suspension lakini kwasasa amerudi na kuomba msamaha na tunafanya kazi kama kawaida&quo