Baada yakutulia na kungojea sana mwishowe imeachiliwa ni ngoma mpya ya wakali wa voko SUDIBOY na BROWN MAUZO ngoma inajulikana kama SHURBA. SHURBA imetokea studio za KAY-G RECORDS mkono ni wa produza TOTTI. Pakua hapa..
Huu ndio wimbo wakwanza kuutambulisha msanii SUSUMILA mwaka huu akiwa amemshirikisha KING KAKA unajulikana kama MAPEPE. Nyimbo yeyenyewe imeweza kuongozwa na JOHNSON KYALO chini ya EMPIRE FILM na kick na snare imegongwa kwa produza TOTTI. Pata kuitazama hapa..