Skip to main content

Posts

Showing posts from September 30, 2014

RAILA ODINGA ASHAMBULIWA KWA VIBOKO KATIKA COUNTY YA KWALE....Tazama video hio hapa...

. Hali ya taharuki iliibuka katika mkutano wa hadhara baada ya mwanamume mmoja kwenda ukumbini nakuanza kumcharaza viboko kiongozi wa upinzani Bw. Raila Odinga pamoja na wanasiasa wengine. Raila alikuwa amejiunga na kikundi cha wanawake na kuanza kucheza densi za kitamaduni kuwatumbuiza wageni pamoja na gavana wa jimbo hilo la Kwale Bwana Salim Mvurya katika mkutano wa kisiasa. Kiongozi huyo wa CORD alikuwa ameongozana na viongozi wengine kama sineta JUMA BOY,AGNES ZANI,JAMES ORENGO,JOHNSTONE MUDHAMA na wengine. Mwanamume huyo aliweza kumshambulia ODINGA ambaye ni waziri mkuu wa zamani na kumchapa mara mbili kabla ya kumgeukia gavana SALIM MVURYA ambaye ni gavana wa Jimbo hilo pia na kumchapa mara mbili.Hata hivyo mwanaume huyo alishindwa nguvu pale alipokabiliwa vikali na walinzi wa RAILA ODINGA . Polisi walithibitisha kuwa wamemkamata na kumwachilia baada yakugundua alikuwa na matatizo ya akili. Bado haijajulikana ni kwanini mwanamume huyo aliweza kumshambulia R

"VIDEO YA "KATIKA" IMENIGHARIMU 3.5MILLION PESA TASLIM ZA KENYA" AKOTHEE ASEMA KATIKA KITUO CHA EATV TANZANIA..soma hapa ziaidi.

Baada ya kuiachilia video yake mpya jijini Nairobi inayojulikana kama KATIKA msanii wakike anayekuwa kwa kasi kutoka Mombasa ya Kenya ESTHER AKOTHE almaarufu kama AKOTHEEE hakutosheka na hapo bali pia aliweza kutinga  ndani ya nchi ya Muhushimiwa JAKAYA MRISHO KIKWETE Tanzania ilikuiachia katika vituo vya Televisheni vilivyo umo. Akothee aliweza kufika Tanzania na kuiachia video yake KATIKA katika vituo vya televisheni zaidi ya vitatu ikiwemo EATV,CLOUDSTV na vyenginevyo, katika mahojiano na watanhazaji wa EATV Akothee alidai kuwa video yake mpya imeweza kumgharimu takriban shilingi milioni tatu na nusu pesa taslim za nchini Kenya ambapo aliifanya na director HAMZA wa ONEPOINT MONTAGE ambapo video hio iliweza kufanyiwa Zurich Swiziland. Hizi ni Baadhi ya picha tulizozipata akiwa anaachia lia Vdeo yake mpya kwatiaka EATV. Uanaweza kuitazama video ya KATIKA hapa...