Skip to main content

Posts

Showing posts from January 17, 2015

THE AWAITED AUDIO IS OUT | DOWNLOAD AVRIL FEAT OMMY DIMPOZ-HELLO BABY....Download it here

This audio  Avril collaborating with Tanzanian artist Ommy Dimpoz is now out. The photos you saw earlier it was the making of the video the new video of HELLO BABY and soon it will be launched in the media. Download HELLEO BABY here..

"NOTI FLOW SINGING IS NOT YOUR CAREER GO AND SEARCH YOUR CAREER STOP MUSIC" VICTORIA MIMSH AFUNGUKA...Read more,

Mapema hii leo mtangazaji wakike anayeingia katika ulingo wa mziki mwaka huu alifunguka ya moyoni ambapo alikua katika kipindi cha MISTARI NA VINA kinachoongozwa na MWANAMFAA CAPTAIN ndani ya BARAKAFM .   Mtangazaji huyo anayejulikania kama VICTORIA MIMSH aliweza kusema kuwa msanii wakike anayeimba miondoko ya rap anayejulikana kama NOTI FLOW awachane na mziki sababu kuu ikiwa ni hawezikuimba na hio sio talent yake na kua analazimisha mziki ambapo mziki haulazimishwi " NOTI FLOW SINGING IS NOT YOUR CAREER SEARCH YOUR CAREER BECAUSE YOUR NOT GOOD IN SINGING" tuliweza kumnukuu akisema hayo kupitia kipindi cha mistari na VINA NA VINA, alendelea na kusema kumwambia kuwa atafute kazi nyengine afanye kwani anatumia pesa zake kufanya video kubwa kubwa lakini kuimba ndiko kuna muangusha. Victoria aliweza kumwambia aangalie wenzake kama PETRA na WANGECHI wanavyo fanya miziki yao na mtindo ni mmoja Hii ni moja wapo ya video ya msanii NOTI FLOW patakuit

18+++++!!!!!!!!!!TAZAMA PICHA ZA MUIGIZAJI TEMITOPE OSOBA ALIZOZIACHIA KATIKA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM....

Mwanadada kutoka nchini Nigeria wiki iliopita katika mtandao wake wa Instagram aliachia picha ambazo zimeweza kua gumzo sana nchini humo, Temito Osoba inasemekana ni muigizaji chipukiza wa Naija Movie msanii huyo aliweza kuonyesha vyombo vyake katika mitandao na watu kukashifu sana kitendo hicho caheke ambapo labda kwa upande wake aliona ni njia ya kumvutia mashabiki. Hizi ndizo baadhi ya picha hizo.