Skip to main content

Posts

Showing posts from October 21, 2014

SABINA MKENYA ALIYE KUWA KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER ATIMULIWA NJE YA JUMBA HILO...soma sababu za kutimuliwa kwa mwanadada huyo hapa

Baada tu ya wiki mbili katika nyumba ya Big Brother Mwakilishi mmoja kutoka hapa Kenya Sabina ametimuliwa. Inasemekana kuwa Sabina   ana mtoto wa miezi minane na ndio mkenya wa kwanza kutimuliwa kutoka katika nyumba hiyo. Inadaiwa kuwa watazamaji na mashabiki wa makala hayo waliamua kumuondoa Sabina baada ya siku 14 pekee ili aende kumuhudumia mwanawe. Sabina alionekana kumkosa sana mwanawe na wakati mwingi alionekana akifunga vitu kwenye mgongo wake ungedhani anambeba mtoto.   Aliweka pamoja blanketi na nguo na kuvifunga kwenye mgongo wake akiwa na kofia ya mwanawe huku akitembea katika nyumba hiyo kabla ya kujiunga na wenzake waliokuwa wakijivinjari nje. Baadhi wanasema kufunga vitu mgongoni ndio chanzo cha mashabiki kuanza kuomuonea huruma Sabina wakisema bora aende nyumbani kwa mwanawe mwenye miezi minane. Na hapo ndipo walipompigia kura Jumapili na kumtimua kutoka Big Brother house. Sabina alitimuliwa kutoka katika nyumba hiyo pamoja na Lilian kutoka

HUYU NDIYE ANAYESEMEKANA KUWA SHEMEGI YAKE BROWN MAUZO CLASSIC...pata kuona picha zaidi hapa.

 Kama unakumbuka hapo juzi BROWN MAUZO alieka picha yake akiwa na jamaa flani aliyekuwa amevalia gwanda la kia askari watu wakajiuliza maswali mengi tu. THE GREAT MULLEY iliichunguza kwanini msanii huyo alieka picha hio katika mtandao wake na wakati huo alikuwa anaenda kupiga show Stardust Malindi,msanii huyo hakutaka kuongea mengin katika picha hio bali alielezea kuhusu tamasha lake katika mkahawa huo. Inasemekana kuwa yule jamaa katika picha ile ni shemegi yake BROWN ambaye ni kakake AKOTHEE hit maker wa K ATIKA. Picha yenyewe ndio hii hapa. Hii ndio video mpya ya BROWN MAUZO. .

CHEGE CHIGUNDA AUZUNISHWA SANA NA MSIBA WA YP KUTOKA TMK...soma alichokisema hapa..

Saidi Juma maarufu kama   Chege Chigunda Mtoto wa Mama Saidi kutoka TMK ameumizwa sana na Msiba wa mwenzake Yessaya Ambilikile Y.P na Kuyasema haya... "Innalilahi wa inna ilaih rajiun,sikuwahi kufikiria itatokea siku usiwe karibu yangu nilipigania sana uwepo wako katika kundi letu,wewe ndio ilikua remot yangu ktk uimbaji machozi yananitoka kila dakika nakumbuka mengi naujua msaada w ako kwangu,tulipendwa sana kwa sauti zetu kufanana my brother,mungu ndio anajua kwanini ulipojitoa kundini nilipigania mpk uongozi ukakurudisha,umeniacha ktk Hali ngumu sana na kuiacha Tmk wanaume family ktk majonzi makubwa yasio weza kufutika kirahisi hatuna la kufanya tena kwa sasa tunachofanya nikubaki tunakuombea kwa mwenyezi mungu akupunguzie adhabu na kukuweka mahala pema peponi RIP YP” Msanii 'YP' toka kundi la TMK Wanaume Family ambaye alfariki jana usiku katika hospitali ya TEMEKE ambako alikuwa akisumbiliwa na kifua kwa muda mrefu lakini hali ilikuwa mbaya katika wiki