Skip to main content

Posts

Showing posts from September 2, 2014

JUMBA LA BIG BROTHER LATEKETEA MOTO..Tizama picha hapa>>

Habari ya kusikitisha kwa mashabiki wa shindano la Big Brother Africa, Jumba linalotumika kufanyia shindano hilo lililoko Johannesburg, Afrika Kusini limeteketea kwa moto September 2. Kutokana na tukio hilo, M-Net na Endemol South Africa wameeleza kuwa wamelazimika kubadili ratiba ya shindano hilo msimu huu lililopewa jina la ‘ Big Brother Hotshots’ na halitaanza Jumapili, September 7 kama ilivyotarajiwa hapo awali. Chanzo cha moto huo hadi sasa hakijajulikana na makampuni hayo yameeleza kuwa uchunguzi wa kina utaanza mara moja. Makampuni hayo yamepata changamoto kubwa kutokana na tatizo hilo kwa kuwa vifaa vinavyotumika kufanyia uzalishaji ni vya aghali na adimu sana hivyo wameeleza kuwa ni vigumu kupata vifaa mbadala hivi punde. “Kila juhudi itafanywa kutafuta ufumbuzi wa tatizo haraka iwezekanavyo kuhakikisha kuwa reality show hii kubwa zaidi Afrika inaendelea.” Wameeleza katika tamko lao. Hakuna mtu aliyejuruhiwa katika tukio hilo. Haya ni maelezo wa

JE NI KWELI NYOTA NDOGO ALIMUEKA KAA LA MOTO KIUMBE KINYUMBA?! Soma hapa zaidi...

Baada ya fununu kuibuka kuwa msanii wa kike Nyota Ndogo amemueka msanii wa HipHop anayejulikana kama KAA LA MOTO kinyumba THE GREAT MULLEY ililivalia njuga swala hilo na kuibuka na kuwa Wasanii hao wawili walikuwa wanatengeneza video yao mpya kwa jina MAPANYA, Tuliona wanapendana ndio lakini kimziki shuhuli hio ikiendelea ndio madai hayo yalijitokeza kuwa Nyota Ndogo amemueka msanii huyo HIP HOP kinyumba lakini tulithibitisha kwamba ni uzushi mtupu. Video hio yao pamoja na Audio zitatoka pindi msanii Ntota Ndogo atarejea nchini baada ya safari yake ya DENMARK  Baadhi ya Picha za video hio tuliweza kuzipata ndio hizi...