Skip to main content

Posts

Showing posts from September 27, 2016

NEW AUDIO ALERT||| Idd Singer-Samia | Listen and Download here...

Ukizungumzia sauti zenye mvuto na kunata kutoka Pwani ya Kenya na Kenya kwa ujumla basi huyu kijana anayekwenda kwajina IDD SINGER kama hatakaa katika nafasi yakwanza basi ni ya pili. Kwa mara nyengine tena amerudi katika studio za NUMBER ONE RECORDS nachini ya produza HITMAKER TK MBLI na kuachia mzigo mpya unaokwenda kwajina SAMIA. Katika nyimbo hii kuna mashairi mazito na ujumbe pamoja na sauti tamu zaidi. Download HAPA SAMIA

EXCLUSIVE STORY|||| HIVI NI KWELI VANESSA MDEE NA TREY SONG WANA KWICHI KWICHI? NA JUX AMETEMWA? SOMA TAARIFA NZIMA HAPA...

Kuna habari kuntu zinazoenea kwamba V.MONEY na mkali kutoka Marekani TREY SONG wana uhusiano wakimapenzi hii ni baada ya kukutana ndani ya studio za COKESTUDIO Wiki iliyopita, Vanessa pamoja na wasanii wengine takriban 9 wa Afrika, waliingia studio na Trey Songz kurekodi wimbo kwaajili ya msimu mpya wa kipindi cha Coke Studio Afrika. Hata hivyo Trey alionekana kuwa karibu zaidi na Vee Money kiasi cha kuzusha tetesi kuwa huenda Jux akawa amesalitiwa.   Anasema picha na video hizo zinatafsiriwa vibaya na kwamba yeye na Trey wamewahi kukutana kabla ya hapo na siku zote amekuwa karibu naye. “Me and J are 100,” Vanessa ameyaongea hayo baada ya kuulizwa kuhusu minong’ono hiyo. “The video and pictures going around are misinterpreted, I worked for MTV and had met Trey before, we were cool then and are cool now,” amesisitiza. “I respect him [Trey Songz], Juma and all our fans.” “Being a female artist in Africa, people are always waiting for any opportunity to ta

EXCLUSIVE STORY!!! HAYA NDIO WALIYOYASEMA WASOJALI BAND BAADA YA BAND ZENGINE KUCHIPUKA BAADA YAO...Soma hapa zaidi

Wanajulikana kama WASOJALIBAND ambao ni vijana wannne waliokuja katika tasnia hii ya mziki kwa uharaka sana na kukita mizizi na kwasasa wanafanya mambo makubwa katika jamii na katika mziki. Kwasasa vjana hawa wanne wameachia ujio wao mpya unaokwenda kwajina WACHA WASEMA hii ni baada ya kuachia nyimbo yao iliokwenda kwajina NITALIA NAWE iliopokelewa vizuri zaidi hapa Afrika Mashariki ( East Africa ). Hapo jana walikua katika media tour yao katika radio kuachia ujio wao katika vituo mbali mbali ambapo walianza na PWANIFM na kumalizia ndani ya PILIPILIFM ,kama tunavyojua vijana hawa walipokua wanaanza hili ndio kundi tu liliokuwepo pekeake bila kundi lengine ila kwasasa kumezuka makundi mengi tu baada ya Wasojali band, WASOJALIBAND walisema kwamba makundi haya yaliotokea baada yao hayajawatikisa hata ndewe kwani wanajiamini zaidi maana siku zote sikio hazidi kichwa wao watabaki wakongwea wa Band zote zitakazo chipuka na zinazochipuka kwasasa  na kudai kwamba wao wanaongozwa