EXCLUSIVE STORY!!! HAYA NDIO WALIYOYASEMA WASOJALI BAND BAADA YA BAND ZENGINE KUCHIPUKA BAADA YAO...Soma hapa zaidi
Wanajulikana kama WASOJALIBAND ambao ni vijana wannne waliokuja katika tasnia hii ya mziki kwa uharaka sana na kukita mizizi na kwasasa wanafanya mambo makubwa katika jamii na katika mziki.
Kwasasa vjana hawa wanne wameachia ujio wao mpya unaokwenda kwajina WACHA WASEMA hii ni baada ya kuachia nyimbo yao iliokwenda kwajina NITALIA NAWE iliopokelewa vizuri zaidi hapa Afrika Mashariki (East Africa).
Hapo jana walikua katika media tour yao katika radio kuachia ujio wao katika vituo mbali mbali ambapo walianza na PWANIFM na kumalizia ndani ya PILIPILIFM,kama tunavyojua vijana hawa walipokua wanaanza hili ndio kundi tu liliokuwepo pekeake bila kundi lengine ila kwasasa kumezuka makundi mengi tu baada ya Wasojali band,WASOJALIBAND walisema kwamba makundi haya yaliotokea baada yao hayajawatikisa hata ndewe kwani wanajiamini zaidi maana siku zote sikio hazidi kichwa wao watabaki wakongwea wa Band zote zitakazo chipuka na zinazochipuka kwasasa na kudai kwamba wao wanaongozwa na makundi matatu tu ya wasanii kutoka hapa nchini Kenya ambao ni H_ART_THE_BAND ELANI pamoja na SAUTI SOL.
Hii Hapa ndio nyimbo yao mpya inayokwenda kwajina WACHA WASEME
Kwasasa vjana hawa wanne wameachia ujio wao mpya unaokwenda kwajina WACHA WASEMA hii ni baada ya kuachia nyimbo yao iliokwenda kwajina NITALIA NAWE iliopokelewa vizuri zaidi hapa Afrika Mashariki (East Africa).
Hapo jana walikua katika media tour yao katika radio kuachia ujio wao katika vituo mbali mbali ambapo walianza na PWANIFM na kumalizia ndani ya PILIPILIFM,kama tunavyojua vijana hawa walipokua wanaanza hili ndio kundi tu liliokuwepo pekeake bila kundi lengine ila kwasasa kumezuka makundi mengi tu baada ya Wasojali band,WASOJALIBAND walisema kwamba makundi haya yaliotokea baada yao hayajawatikisa hata ndewe kwani wanajiamini zaidi maana siku zote sikio hazidi kichwa wao watabaki wakongwea wa Band zote zitakazo chipuka na zinazochipuka kwasasa na kudai kwamba wao wanaongozwa na makundi matatu tu ya wasanii kutoka hapa nchini Kenya ambao ni H_ART_THE_BAND ELANI pamoja na SAUTI SOL.
Hii Hapa ndio nyimbo yao mpya inayokwenda kwajina WACHA WASEME
Comments
Post a Comment