Skip to main content

Posts

Showing posts from November 28, 2018

KUNA WATU WANATAKA NIACHANE NA MZUNGU WANGU ILA WATAPATA TABU SANA NYOTA NDOGO AMUA KUFUNGUA KINYWA

Msanii mkongwe wakike ambae kwasasa ameweza kukaa kimya tusijue anachokipanga, mapema jana aliweza kuongea kupitia ukurasa wake wa Instagram kuhusiana na mahusiano yake na mpenziwe. Mwanaisha almaarufu kama Nyota ndogo aliweza kuweka wazi kuwa amekua akiskia fununu yakwamba ametifuana ama kuachana na mpenzi wake ambaye ni raia wa Uingereza kwajina HENNINING NIELSON kupitia Instagram akaunt yake aliweza kuandika manenohaya akiambatanisha na picha ya mpenzi wake huyu Mdenmark " Jana nimeulizwa kama nimeachana na mume wangu maana kitambo sijamposti.wow hatujaachana but hilo swali nikama kuna watu wananiesabia siku zakuachana..anyway bado " Aliyatapika hayo kupitia mtandao wake wakijamii  View this post on Instagram Jana nimeulizwa kama nimeachana na mume wangu maana kitambo sijamposti.wow hatujaachana but hilo swali nikama kuna watu wananiesabia siku zakuachana..anyway bado A post shared by nyota ndogo nielsen (@

EXCLUSIVE:::MZIKI WA KENYA NAUPENDA ILA SIELEWI HAWA WASANII UAGA WANAIMBA NINI MANENO YA JOVIAL...

Msanii wakike kutoka nchini Kenya ambae ni mzaliwa wa Mombasa anayejulikana kama JOVIAL SKY wiki hii aliweza kutoa kilichokua moyoni mwake. Jovial ambaye wiki hii ameweza kutoa kichupa chake kinachojulikana kama MIMI NI WAKO aliweza kufunguka kwa kuandika kutumia ukurasa wake wa facebook." Bugu Bugu...Dundaing Walai Kenya kuna mziki mtamu hahaa Sijaelewa BTW " Aliandika hayo kupitia ukurasa wake wa facebook ambapo apo ameweza kuchambua nyimbo mpya ya KING KAKA na nyengine ya GABU  Pamoja na hayo pata kuitazama kazi mpya ya msanii huyo wakike inayokwenda kwajina   JOVIAL-MIMI NI WAKO