Baada ya kuiachia ngoma yake VIVA ROMA VIVA mapema wiki hii inayosemekana imejaa ukweli ndani yake ngoma hio haijapa nafasi ya kupenya katika media nchini Tanzani. Ngoma hio ya msanii wa Hip Hop ROMA MKATOLIKI inayosemekana imejawa na ukweli ndani yake inasemekana imeweza kufungiwa isischezwe ambapo hadi sasa haijabainika kinachofanya ngoma hio kutaka kubaniwa. Hapo jana msanii huyo kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM aliweza kuandika maneno mazito na haya ndio aliyoyaandika kuhusiana na fununu hizo zinazoendelea WANATAKA KUIFUNGIA NYIMBO YANGU!! KISA TU NIMEONGEA UKWELI!! INANIUMA SANA NATAMANI HATA KULIA NIKIONA UKWELI HAUPEWI NAFASI!! NIOMBEENI NA MNIKUMBUKE KWENYE SALA ZENU NDUGU ZANGU!! Viva Roma viva✌✌✌ A photo posted by Viva ROMA Viva (@roma2030) on Sep 9, 2015 at 10:01am PDT Pata ku Download nyimbo hio hapa.