Bellary Classic ni msanii anayeinukia na kipaji chake cha umbaji wake na ni moja ya wasanii wanaojituma sana katika tasnia hii ya mziki.
Mapema wiki hii alikua jijini Nairobi ambapo alienda kuiachia rasmi video yake mpya kabisa inayojulikana kama KILA SAA ndani ya mkahawa wa TRIBEKA.
Pata kuitazama video hio hapa..
Comments
Post a Comment