Skip to main content

Posts

Showing posts from November 10, 2015

#TGM_EXCLUSIVE:HAYA NDIO MAPENZI YA MAMA KWA MWANAWE SOMA HAPA UONE BAWAZIR ALICHOFANYIWA NA MAMAKE MZAZI WIKENDI ILIOPITA....

Wasanii wengi wanapoingia katika tasnia ya mziki wanakuwa na uoga pamoja na wasiwasi ili wazazi wao wasijue na wengi hufanya siri ata wanapoenda studio wazazi wao huwa ngumu kujua. Hapa imekuwa tofauti kabisa kupitia mamake msanii ambaye anakuja vizuri katika tasnia hii ya muziki wa Kenya apa namzungumzia BAWAZIR BEYBY. Tofauti yake imekuwa hapa kwani mamake msanii huyu ameweza kujitolea kwa hali na mali kumsukuma mwanawe kimziki bila kuangalia nyuma wala kuskia la muadhini wala la mteka maji msikitini. Wikendi hii kulikua na tuzo ambazo zilikuwa zinafanyika katika ukumbi wa SEAFRONT ambapo msanii huyu aliweza kupewa tuzo kama msanii anayechipuka,kitengo chake kilipotangazwa kwa bahati mbaya ama nzuri msanii huyu hakuweza kujitokeza na umati ulibaki kinywa wazi pale mamake mzazi BAWAZIR BEYBY aliweza kuenuka alipokuwa amekaa na kuifuata tuzo hio ya mwanawe umati wote ulibaki kinywa wazi wakijiuliza maswali lakini hakuna aliye kuwa na jibu mbali na mamake msanii huyo ambapo

NEW VIDEO ALERT| WILOVELA-BALLER X SHAROBARO| WATCH IT HERE

Hii ni video mpya kutoka kwa msanii anayejulikana kama WILOVELA ambaye anafanya mziki wa aina ya kuchana. Wilovela ni mmoja ya marapa wakali wanaotajika kutoka Pwani ya Mombasa na hii ndio video yake ambayo imeongozwa na director anayejulikana kama   ADRIAN M audio imeweza kuketiwa chini na produza mkali anayejulikana kama NOIZER. Pata kuitazama video hio hapa vhini...

HII NDIO NYIMBO ILIOMPELEKEA DIAMOND PLATNUMZ KUMCHUKUA HARMONIZE ILIKUWA MSANII WAKE, HIVI NDIVYO ALIVYOANDIKA MANAGER WA HARMONIZE AMBAYE NI DIAMOND PLATNUMZ...

Mbali na kuwa nchini Tanzania kuna manager wazuri na wanaojua kufanya kazi na wasanii wao pia staa DIAMOND PLATNUMZ amechukua jukumu hilo lakuwa meneja. Msanii kutoka Tanzania ambaye pia ni hit maker wa NANA " SANKORO " Diamond Platnumz ameweza kujitweka jukumu la kuwa meneja chini ya lebo ya WCB ambapo kwa sasa ameweza kummiliki msanii mmoja kwa jina HARMONIZ E ambaye kwasasa yuko chini ya mikono ya WCB na ameweza kufanyiwa video moja ambayo imekua gumzo katika mitandao wiki iliopita nyimbo inayotambulika kama AIYOLA. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond Platnumz aliweza kufungua nafsi yake kueleza ni kipi kilichompelekea hadi kumchukua msanii HARMONIZE ,Haya ndio aliyoyasema Diamond kumuhusu msanii huyo wake.                            "  Hii ndio nyimbo ilonifanya niamini kunakitu ndani ya Harmonize... nikamuomba mwenyez Mungu anisaidie kunipa uwezo wa kumsaidia ili nae kesho nakesho kutwa atimize ndoto zake na kuweza kuisaidia familia yake pamoja na