Skip to main content

Posts

Showing posts from June 11, 2016

JE WAJUA KWAMBA SUSUMILA NDIO CHANZO CHA KELECHI AFRICANA KUKUTANA NA ATHMAN BABAZ C.E.O WA "KUBWA ENT"

Kiukweli wasanii wengi wadogo wakiingia katika mziki hujawakabadilika na kuwa watu wengine tofauti katika jamii na kusahau ata walio washika mkono na kuwafikisha mahali walipo. Katika pitepite zetu tuliweza kukutana na msanii anayekuja kwa kasi zaidi ndani tasnia ya mziki humu nchini anayejulikana kama Salim Hassan almaarufu kama KELECHI AFRICANA. Alitueleza kwamba yeye alianza mziki mwaka wa 2011 na alijiamini kuwa ubavu wakupigana kisauti anao na alitamani sana japo siku moja nyimbo zake ziate kuchezwa ata ndani ya kituo kimoja cha runinga lakini wakati huo alikua hanamdhamini na kiwango cha pesa kulipia video kilikua kinampiga chenga sana. Kelechi alielezea kwamba nyimbo yake ya kwanza aliweza kuirecord katika studio inayojulikana kama GHETTO RECORDS ambayo iko mitaa ya Likoni chini ya produza HAMMADOO na track hio aliipa jina la KUCHIKUCH I ambayo hio ndio iliomtambulisha kama Kelechi na ndio iinayomlea hadi leo. " KUCHIKUCHI ni track ambayo iliweza kunifany

EXCLUSIVE STORY|JE? WAJUA NI KWANINI VIDEO MPYA YA ALLY B "NZELE" HAIKO KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE? PATAKUJA HAPA

Ni takribani wiki moja imepita tangu rais wa Ziki La Nazi ALLY B kuachia kichupa chake kipya kinacho julikana kama NZELE mashabiki wengi wa Youtube wameweza kuskiza ngoma hio lakini bado video hawajaita machoni. Tarehe nane mwezi huu video hio ndio ilitoka lakini haikuweza kuekwa katika mtandao wa Youtube na mashabiki wamekua wakiiulizia kwasana. Tukiongea na Director wa video hio ambaye ni mkongwe LIL GUY aliweza kutwambia kwamba video nyingi zimekua zikiekwa katika Youtube na katika Tv etu za humu nchini hazipatikani,tulimnukuu "Wasanii wengi ambao wakiachia video zao Youtube huwa hawajiamini na promo ya kwenye tv na ndio maana LIL GU G VIDEO PRODUCTION na ALLY B tunahakikisha Tv zote za humu nchini na nje zimeipata video hio na zinaicheza ndio tutaweza kuiweka video hio ndani ya Youtube kwahivyo sio ati tumewagawa mashabiki ila kwanza waitizame katika televisheni mwanzo na saa hii bado KTN na zengine" Alisema hayo. Wiki hii video hio NZELE imeweza kuachi